1 Siku ya furaha, siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
Tulipotea, Yesu akaja.
Furahini, furahimi, Wakristo!
Tulipotea, Yesu akaja.
Furahini, furahimi, Wakristo!
2 Siku ya furaha, siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
Yesu ameshuka, atuokoe.
Furahini, furahini, Wakristo!
Yesu ameshuka, atuokoe.
Furahini, furahini, Wakristo!
3 Siku ya furaha, siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
Malaika wote wamsifu Mungu.
Furahini, furahini, Wakristo!
Malaika wote wamsifu Mungu.
Furahini, furahini, Wakristo!
Source: Mwimbieni Bwana: msifuni Mungu, mfalme wa mbingu na nchi! #14