Mmoja ni Mfalme

Mmoja ni mfalme shujaa

Author: J. L. K. Allendorf
Published in 1 hymnal

Representative Text

1 Mmoja ni mfalme shujaa, ni mshindaji!
Enyi adui, kimbieni tu!
Nawe Sioni uone furaha
ukapumzishe kabisa moyo:
Uzima, utengemano, furaha
ndizo Mwokozi atakazokupa.

2 Twende kuonja maji ya uzima
tunayopewa na Bwana Yesu,
aliyesema "Njooni kwangu wote,
nitapumzisha mioyo yenu!"
Nyweni, wapenzi, katika kisima
chenye wokovu wa wenye huzuni.

3 Mfalme wa mbingu ataka kuwapa
kilemba kizuri cha urembo,
awawekea viti vya milele,
heshima hiyo ni ya kushinda.
Vumilieni taabu na shida:
Yesu mwenyewe ni tuzo la vita.

4 Nguvu, ujuzi, heshima na sifa
ni sake Mungu na Mwana wake.
Nami nataka kufika mbinguni!
Nifunguliwe mafungo yangu!
Mwenye upendo atasikia.
Wenye uzima wanamsifu Mungu.

Source: Mwimbieni Bwana: msifuni Mungu, mfalme wa mbingu na nchi! #55

Author: J. L. K. Allendorf

Allendorf, Johann Ludwig Konrad, b. Feb. 9, 1693, at Josbach, near Marburg, Hesse, where his father was pastor. He entered the University of Giessen in 1711, but in 1713 passed on to Halle to study under Francke, and then, in 1717, became tutor in the family of Count Henkel of Odersberg. In 1723 he became tutor to the family of Count Erdmann v. Promnitz at Sorau, and in 1724 was appointed Lutheran Court preacher at Cothen, when one of the Count's daughters was married to the Prince of Anhalt-Cothen. After the death of his first wife the Prince married her younger sister, but the latter, dying in 1750, the need for a Lutheran Court preacher ceased, he being of the Reformed Confession. Allendorf was then summoned by Count Christian Ernst v. S… Go to person page >

Text Information

First Line: Mmoja ni mfalme shujaa
Title: Mmoja ni Mfalme
German Title: Einer ist König
Author: J. L. K. Allendorf
Language: Swahili
Notes: Sauti: Posaunen Buch, Erster Band uk. 9, Nyimbo za Kikristo #42, Maneno Posaunen Buch, Erster Band, IX (388)

Instances

Instances (1 - 1 of 1)
TextPage Scan

Mwimbieni Bwana #55

Suggestions or corrections? Contact us