Text: | Watumwa wa Yesu |
1 Watumwa wa Yesu
jitayarisheni,
Shikeni neno la Yesu
kesha kila siku.
2 Tengenezeni taa,
wekeni mafuta,
Jifungeni muwe mbele,
hata kukimbia.
3 Omba usikome
ninakuja sasa,
Angalia nawaonya,
hima njooni kwangu.
4 Wewe utaokoka,
ukikaa kwake,
Kutazama uso wake
utavikwa taji.
5 Bwana huandaa
wateule wake,
Awachukue mbinguni,
karamuni mwake.
Text Information | |
---|---|
First Line: | Watumwa wa Yesu |
Title: | Watumwa wa Yesu |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1988 |
Topic: | Yesu anatungojea mbinguni |
Notes: | Sauti ya wimbo: Hymnal Companion #68 |